PLAY PODCASTS
Jua Haki Zako

Jua Haki Zako

RFI Kiswahili · France Médias Monde

38 episodesSW

Show overview

Jua Haki Zako launched in 2025 and has put out 38 episodes in the time since. That works out to roughly 6 hours of audio in total. Releases follow a weekly cadence.

Episodes typically run under ten minutes — most land between 10 min and 10 min — and the run-time is fairly consistent across the catalogue. None of the episodes are flagged explicit by the publisher. It is catalogued as a SW-language Government & Organizations show.

The show is actively publishing — the most recent episode landed 3 weeks ago, with 27 episodes already out so far this year. The busiest year was 2026, with 27 episodes published. Published by France Médias Monde.

Episodes
38
Running
2025–2026 · 1y
Median length
10 min
Cadence
Weekly

From the publisher

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Latest Episodes

View all 38 episodes

Changamoto za wasichana wanaopata ujauzito wakiwa shuleni

Aug 3, 20269 min

Safari ya akina mama wachanga kutafuta uraia wao na watoto wao mipakani Kenya

Jul 28, 202610 min

Kenya: Mawakili waandamana kudai haki

Jul 13, 202610 min

Sudan : Amnesty International yasema rsf ilikiuka sheria El fasher

Jul 12, 20269 min

Haki za wakimbizi awamu ya pili

Jul 10, 202610 min

EAC : Haki za wakimbizi duniani

Jun 22, 20269 min

Kenya: Harakati za kupambana na mimba za utoto zapata sura mpya

Jun 10, 202610 min

Kenya : Ukatili wa kijinsia kizungu mkuti

Jun 8, 20269 min

KENYA: Dhulma wanazopitia kina mama mtaani Mathare

May 30, 20269 min

Kenya: Haki ya wanamziki chipukizi ndani ya Eleve8

May 25, 202610 min

Siku ya Mama duniani, je unamtambua mama

May 15, 20269 min

Kenya : Uhuru wa wanahabari si mjadala

May 11, 202610 min

Rueben Kigame na harakati zake kupigia haki

Apr 30, 20269 min

Unyanyasaji na kunyimwa haki kwa wanawake katika biashara za kimataifa

Apr 17, 202610 min

Kenya : Mchango wa masharika ya kiraia kwa jamii

Katika makala haya tunajikita kuangazia mchango wa mashariki yasiokuwa ya kiserikali kwenye jamii zetu. Tunaliangazia shirika la Corps Africa ambalo kwa ushirikiano jamii mbali mbali nchini Kenya limeendelea kuleta mageuzi kwa raia. Ili jamii kuendelea na kujitegemea inahitaji watu wa kufanikisha baadhi ya maswala kwa jamii kuja na mbinu ya namna gani ya kuwezesha jamii kujiendeleza. Kutokana na hili ndipo Corps Africa nchini Kenya huwatumia vijana kwa kuwatuma katika jamii mabalimbali, ili kusema na hizo jamii na kutambua namna gani au wanahitaji msaada gani.

Apr 8, 20269 min

Kenya: Pesa za majanga haziwafikii waathiriwa

Katika makala haya tunaangazia ripoti kuhusu ufadhili wa majanga na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo kame, iliochapishwa na masharika kadhaa likiwemo lile la Oxfarm. shaba ikilenga taifa la Kenya, Ripoti hii inaonyesha kuwa licha ya maeneo haya kuathirika zaidi na ukame, mafuriko na mabadiliko ya tabianchi, bado fedha nyingi hazifiki moja kwa moja kwa wananchi wanaohitaji msaada huo zaidi. Ripoti hiyo ya Oxafarm inaonyesha kuwa mfumo wa ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi nchini Kenya bado una changamoto nyingi, ikiwemo ukosefu wa uwazi, ushirikishwaji mdogo wa jamii, na utegemezi mkubwa wa fedha kutoka nje masharika ya nje

Mar 31, 202610 min

Kenya : Haki za wafanyibiashara wa soko la Kigomba

Katika makala haya tunaangazia haki za wafanyibiashara katika soko la Gikomba nchini Kenya. Kwa muda wafanyibiashara hao wamekuwa wakizozana na serikali kuhusu kipande cha ardhi cha soko hiyo. Skiza makala haya kufamu mengi zaidi.

Mar 28, 202610 min

Kenya : Haki za watoto wa kurandaranda mitaani

Kila mtotto ana haki kwa mjibu wa katiba za kila nchi na maazio ya kimataifa. Katika makala haya tunaanhazia haki za watoto wa kurandaranda mitaani. Skiza makala haya kufahamu mengi.

Mar 27, 202610 min

EAC : Wanawake wasilia nyuma katika harakati za amani

Kila Machi nane dunia, huadimisha siku ya kimataifa ya wanawake, katika makala haya tunaangazia sababu ambazo zimechangia wanawake kuachwa nyuma katika harakati za kutafuta amani. Skiza makala haya kufahamu mengi.

Mar 9, 202610 min

Haki za wakimbizi wanapokimbilia mataifa ya kigeni

Je ni masaibu gani wanayopitia wakimbizi wakati wanapokimbia nchi zao? Skiza makala haya kufahamu mengi.

Feb 26, 202610 min
Radio France Internationale